advanced Search
KAGUA
12297
Tarehe ya kuingizwa: 2012/04/10
Summary Maswali
je inafaa mtu kumfunga uzazi paka wake kwa ajili ya kumlinda asidhurike kutokana na kuzurura ovyo kwa ajili ya kutafuta uhusiano wa kijinsia?
SWALI
je inafaa mtu kumfunga mimba paka, ili asidhuriwe kutokana na kuzurura kwa ajili ya kutafuta uhusiano wa kijinsia na paka wengine? Nimeuliza swali hili kutokana na kutambua kuwa, paka wengi wanaofugwa ndani ya nyumba huwa hawana mazoea ya kuranda nje na wala hawana himaya, hii ni kwa kutokana na wao kutokuwa na uerevu wa mazingira hayo, pia iwapo yeye atatoka na kuzurura ovyo, huwa ni rahisi kusibiwa na aina mbali mbali za maradhi, maradhi ambayo yanaweza kumsababishia kifo.
MUKHTASARI WA JAWABU

Jawabu kutoka ofisi ya elimu ya AyatuLlahi Khamenei (Mungu amhifadhi):

Iwapo kumfunga huko mimba kutakuwa ni mateso kwa mnyama huyo, basi jambo hilo halitofaa kutendwa.

Jawabu kutoka ofisi ya elimu ya AyatuLlahi Mahdi Hadawiy Tehraniy (Mungu amhifadhi), ni kama ifuatavyo:

Iwapo kutatumika njia maalumu katika kumfunga mimba mnyama huyo, njia ambayo itakuwa si yenye kumletea yeye mateso, basi jambo hilo litajuzu, lakini pia ni lazima izingatiwe kuwa kumfunga huko uzazi, ni kwenye maslahi maalumu yanayokubalika kisheria.

JAWABU KWA UFAFANUZI

Njia ya kuelekea kwenye maswali ya kifiqhi ni yenye namba

TARJAMA YA JAWABU KATIKA LUGHA NYENGINE
MAONI
Idadi ya maoni 0
Tafadhali ingiza thamani
mfano : Yourname@YourDomane.ext
Tafadhali ingiza thamani
<< Niburute.
Tafadhali ingiza kiasi sahihi ya usalama Kanuni

MPANGILIO WA KIMAUDHUI

MASWALI KIHOLELA

  • je dini na siasa ni vyenye kuendana au vyapingana?
    13367 Elimu mpya ya Akida 2012/05/23
    Dini ni chombo maalumu kilichokuja kumkomboa mwanaadamu na kumuongoza katika njia ya mafanikio, hivyo basi ni jambo lisiloingia akilini kuwa chombo hichi kiwe ni chenye kulipa mgongo jambo muhimu linalohitajika ndani ya jamii mbali mbali, kama vile suala la usimamishaji wa serikali. Na kwa upande mwengine ni ...
  • hivi mvuta sigara aweza kuvuta sigara hali akiwa amefunga?
    7840 Sheria na hukumu 2012/05/23
    Wanazuoni wote wa Kifiqhi wanasema kuwa: ni wajibu wa kila mwenye funga kuchukuwa tahadhari, na kutofikisha kitu chochote kile kama vile tumbaku au moshi wa sigara ndani ya koo yake.[1] Na hakuna hata mmoja miongoni mwa wanazuoni aliyetoa ruhusa ya kuvuta sigara ...
  • tafadhalini tunaomba mutufafanulie naana ya Aya isemayo: “لا اكراه فى الدّين قد تَبَيّن الرّشدُ مِن الغىِّ...”
    11060 Elimu ya zamani ya Akida 2012/05/23
    Tukizingatia aina mbali mbali za tafsiri kuhusiana na Aya hii, tutaona kuwa kuna kauli tano tofauti zilizotajwa katika kuifasiri Aya hiyo, na kauli sahihi ni ile isemayo kuwa Aya hii imebeba ujumbe kwa ajili ya walimwengu usemao kwamba: dini ni jambo la kiimani na kimoyo, ...
  • je kuna haja ya kumkhofu Mola au tunatakiwa kuwa na mapenzi Naye?
    9894 Tabia kimatendo 2012/05/23
    Suala la mtu kuwa na khofu huku akiwa na matarajio ya kheri, na kwa upande wa pili akawa na mapenzi ya Mola wake, huwa si suala la kushangaza, kwa mambo hayo mawili hayapingani katika kuwepo kwake, kwani kuwepo kwa hali mbili kama hizo huwa ni jambo la ...
  • kwa mtazamo wa Qur-ani, ni amali gani zinazoweza kuharibu na kubatilisha amali njema zenye kuthaminiwa?
    6346 حبط و تکفیر 2019/06/15
    Ndani ya Qur-ani na Riwaya mbali mbali, kuna mafunzo mbali mbali yenye kuwafahamisha waja masharti ya mwanzo yanayosababisha kukubaliwa amali zao, na masharti msingi yaliyotajwa katika mafunzo hayo ni kumuamini Mola, kujiepusha na shirki pamoja kuto ritadi, na bila ya kuwepo misingi hiyo Mola hatozikubali aina zozote ...
  • Tafadhali naomba munieleweshe, nini maana ya hijja kilugha?
    7222 حج 2018/01/24
    Hijja kilugha; Ni kukisudia na kukiendea kitu au jambo fulani.[1] Neno hijja Kisheria na kitaalamu; Neno hijja kisheria ni lenye kuashiria aina maalumu ya ibada yenye kutendeka mahala maalumu, kwa mfumo na wakati maalumu. Ibada hii inatakiwa kutendeka katika nyumba maalumu ya Mwenye Ezi ...
  • nini siri hasa ya Uslamu kuwa ni dini ya mwisho, na nini pingamizi hasa ya bwana Surush juu ya hilo?
    14226 Elimu ya zamani ya Akida 2014/02/12
    Kuzingatia nukta zifuatazo kutaweza kumsaidia msomaji kulitambua vyema suala hili: 1- Hitimisho la utume lina maana ya hitimisho la dini; na hii inamaanisha kuwa hakutokuja mtume mwengine baada Yake (s.a.w.w). Hayo pia utayakuta kwenye Aya ya 40 ya Suratul-Ahzab. 2- Dini ya Kiislamu imeitwa dini ya mwisho ...
  • Batasan pakaian bagi perempuan untuk mengerjakan salat
    7123 Sheria na hukumu 2015/04/18
    Batasan wajib menutup aurat bagi perempuan adalah menutup seluruh badan termasuk rambut kecuali wajah (seukuran dengan basuhan ketika berwudhu), kedua telapak tangan dan kedua kaki sampai pergelangannya. Dari sisi ukuran kainnya, maka kain itu harus bisa menutupi badan artinya seukuran dengan badan dan rambutnya tidak kelihatan. ...
  • nini maana ya ucha Mungu?
    20928 Tabia kimtazamo 2012/05/23
    Taqwa (ucha Mungu) ni nguvu maalumu za kiroho zinazo weza kupatikana ndani ya nafsi ya mwanaadamu, nguvu ambazo huwa ni himaya maalumu inayomuwezesha yeye kujitenga na maasi. Taqwa kamili ni ile inayomfanya mtu kujiepusha na maasi yanayo eleweka na kila mmoja wetu, pamoja na kujiepusha na yale ...
  • tafadhalini tupeni ufafanuzi kuhusu mapokezi na maandiko ya Ziara ya siku ya Ashura.
    10899 Elimu ya Hadithi 2012/05/23
    Rejeo mama na asili hasa zinazo aminika ambazo zimeyanukuu maandiko ya Sala na salamu (Ziara) za siku ya Ashura ni vitabu viwili, navyo ni: kitabu Kaamiluz-ziaaraat cha Jaa'far bin Muhammad bin Quulewaihi Qummiy, ambaye amefariki mwaka 348 Hijiria, na cha pili ni kitabu kiitwacho Misbaahul-mujtahid cha ...

YALIYOSOMWA ZAIDI